George Weah kukalia kiti cha Urais Liberia leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

George Weah kukalia kiti cha Urais Liberia leo
Rais mteule wa Liberia George Oppong Ousman Weah ambaye pia amewahi kuwa mchezaji bora wa soka wa dunia, anatarajiwa kuapishwa leo kuwa Rais kamili wa nchi hiyo.

Weah ambaye alishinda kiti hicho mwezi uliopita atakuwa Rais wa 25 wa Liberia akichukua mikoba ya Rais Ellen Johnson Sirleaf ambaye amekalia kiti hicho kwa miaka 12.

Tukio hilo ambalo linasubiriwa kwa hamu kubwa na wananchi wa Liberia pamoja wa wadau wa soka duniani, litafanyika katika uwanja wa mpira wa Samuel Kanyon Doe majira ya saa sita mchana kwa saa za Afrika Mashariki.

Hii ni historia fupi ya George Weah.

Raisi Mteule wa Liberia 🇱🇷 ;

Senator: wa bunge la Liberia 2015

African Footballer of the (1989, 94, 95)

UEFA Champions League Top Scorer: 1994 – 15

1995 Ballon d’Or winner, FIFA World Player of the Year: 1995

1996 FIFA Fair Play Award

IFFHS African Player of the Century: 1996
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad