Haji Manara Awatolea Povu Waliomzushia Kutimuliwa Simba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Haji Manara Awatolea Povu Waliomzushia Kutimuliwa Simba
Kuanzia jana jioni hadi usiku kulikuwa na taarifa inayosambaa kuwa Klabu ya Simba imeamua kumtoa kwenye nafasi ya Ofisa Habari, Haji Manara kwa sababu ambazo hazikuwekwa wazi.

Taarifa hizo zilienea kwa kasi na kusambaa hasa kwenye magrouup ya mitandao ya kijamii, lakini hakukuwa na tamko rasmi kutoka Simba juu ya maamuzi hayo.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Manara amelizungumzia hilo kwa kueleza kuwa hakuna kitu kama hicho na kuwatolea ‘povu’ wale wanamchukia na kusambaza taarifa ambazo siyo za kweli.

Manara ameweka picha ya mtu aliyesambaza taarifa hizo kupitia Instagram kisha akaandika maelezo haya:

“Kuna mpumb** mmoja aliyejitambulisha kama Mwenyekiti wa Group la Yanga WhatsApp supporters makao makuu, anazusha mitandaoni kuwa nimeondoka Simba…hahahahaha sitakaa milele pale kama yeye na wapumb** wenzie watavyoondoka huko walipo, lakini kwa sasa mm ndiyo msemaji wa Big brand ya nch….. , unavyozidi kunichukia ndiyo unazidi kunisogeza…. Kwa mnaoniogopa wote niwaambie NA BAO.”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad