AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na Bongo5, mkali huyo ameeleza kuwa hata yeye amesikia tetesi tu kuwa alilipwa milioni 100 licha ya kuwa hajapokea pesa hizo.
“Kwanza nizungumzia Kenya au sio, kwanza mimi nje ya muziki ni na biashara zangu na nilienda Kenya kwa issue za Business zangu na nilivyofika kule na unajua mimi ni mtu maarufu sana nikitua tu kokote nafahamika, wakajitokeza wadau wakasema kwanini tusifanye kitu flani hivi na maanisha show,” ameeleza msanii huyo.
Kuhusu dili la kinywa cha Swala msanii huo akafunguka “Kiujumla niseme tu kwamba baadae mimi nikaona sielewi elewi inakuaje kuwaje maana kulikuwa na maneno mengi mengi vitu vikawa haviendi nikajiuliza kuna nini na nikaona tu niyamaze ni kaushe maana sijui chochote kinachoendelea.”
Akasisitiza “ Nilikuwa tu naona maneno maneno mtandaoni kuwa Harmorapa amesainiwa kwa dili la milioni 100 sijui nini , nikashangaa kuona mbona mimi sina hata kiasi hicho ambacho kinatajwa tajwa mitandaoni mwisho wa siku nikaona bora tu nikaushe.”
Kuhusu ukaribu wake na mtayarishaji wa muziki nchini P-Funk, Harmo ameeleza kuwa yeye na Producer huyo hawana ukaribu kama mwanzo ila anamshukuru sana kwa mchango wake.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK