Hatimaye Sanchez Avaa Jezi ya MAN U kwa Mara ya Kwanza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hatimaye Sanchez Avaa Jezi ya MAN U kwa Mara ya Kwanza
MSHAMBULIAJI Alexis Sanchez raia wa Chile ameonekana akiwa katika uzi wa Manchester United namba 7 saa chache baada ya usajili wake kukamilika akitokea Arsenal.
SNyota huyo anatarajia kutangazwa rasmi ndani ya saa 24 rasmi akiwa mchezaji wa Manchester United. Katika picha ya uficho, Sanchez anaonekana akipiga picha hiyo akiwa ndani ya Uwanja wa Manchester United, Old Trafford ambapo inaelezwa amepelekwa OT kwa ajili ya kupiga picha maalum.
Raia huyo wa Chile kutoka Arsenal, anatarajia kuwa akilipwa pauni 600,000 kwa wiki zitakazomfanya kuwa mchezaji anayelipwa zaidi ndani ya klabu hiyo. Mgawanyo wa fedha hizo uko mshahara pauni 350,000, haki za picha pauni 100,000 na bonas itakuwa pauni 144,000.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad