AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mjadala wa Messi na Ronaldo unaonekana mpana sana na kila mtu ana sababu zake kumkubali huyu na kumkataa huyu, na hata kwa beki wa zamani wa Brazil Roberto Carlos naye ana sababu za kumkubali zaidi CR7.
Carlos anaamini kwamba Cristiano Ronaldo ni bora zaidi ya Lioneil Messi kwani amekuwa akimuona Ronaldo mazoezini jinsi amekuwa akijituma na pia juhudi zake mazoezini anavyozionesha uwanjani.
Carlos anasema tofauti kati ya Messi na Ronaldo ni kwamba Ronaldo anajituma sana akiwa uwanjani na pia mazoezini kiyu ambacho Lioneil anaonekana kukikosa na zaidi anaamini katika kipaji chake.
Carlos amewahi kuichezea Real Madrid kwa miaka zaidi ya 14 kabla yakuondoka kutoka kwa wababe hao wa Hispania mwaka 2007 ambapo alikwenda kujiunga na klabu ya Fernabache ya nchini Uturuki.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK