AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
NASA wamepanga kumuapisha Raila Odinga kama Rais wa Kenya huku wakidai kuwa ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta mwezi Oktoba 2017 haukuwa wa halali na wa haki hivyo kukataa matokeo hayo.
Hata hivyo, Serikali nchini humo imesema haitambui sherehe hizo za kuapishwa kwa Raila Odinga ingawaje imeuruhusu umoja huo kutumia viwanja vya Uhuru Park.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK