Hofu Yatanda Kenya Mamia ya Watu Wafurika Kushuhudia Kuapishwa kwa Odinga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hofu Yatanda Kenya Mamia ya Watu Wafurika Kushuhudia Kuapishwa kwa Odinga
Hofu ya kuzuka kwa vurugu nchini Kenya imezidi kutawala wakati mamia ya watu wakifurika katika viwanja vya Uhuru Park kushuhudia tukio la kuapishwa kwa kiongozi mkuu wa upinzani nchini humo, Raila Odinga.

NASA wamepanga kumuapisha Raila Odinga kama Rais wa Kenya huku wakidai kuwa ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta mwezi Oktoba 2017 haukuwa wa halali na wa haki hivyo kukataa matokeo hayo.

Hata hivyo, Serikali nchini humo imesema haitambui sherehe hizo za kuapishwa kwa Raila Odinga ingawaje imeuruhusu umoja huo kutumia viwanja vya Uhuru Park.







----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad