AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Afisa habari wa Simba Haji Manara ni mmoja kati ya watu wanaopenda kuandika maneno ya utani mtandao na kwenda kwa wapinzani na watani zao Yanga, Haji Manara leo ameamua kumtania staa wa Yanga raia wa Zambia Obrey Chirwa kwa kupost picha ya Chirwa na kuandika maneno ya utani.
“Kama kuna mchezaji ananiacha hoi na swaga zake basi ni @obreychirwa ..kaacha matikiti sasa hv anaweka umeme,sasa hapo sijui ndio Gongowazi walipompangia,nahisi hapo Tandale kwa kinyevule😂😂😂”>>> Haji Manara
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK