Iren Uwoya, Dogo Janja Wamfariji Johari Kwenye Msiba wa Mama Yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Iren Uwoya, Dogo Janja Wamfariji Johari Kwenye Msiba wa Mama Yake
SO SAD! Kufuatia kifo cha mama mzazi wa Staa wa Bongo Movies, Blandina William Wilbert Chagula ‘Johari’, Bi. Asha Chagula, maeneo ya Mburahati, jijini Dar wasanii wenzake Dogo Janja na mkewe Irene Uwoya jana walipata fursa ya kumtia moyo na kumpa nguvu ambapo walimtaka asikate tamaa na achukulie ni hali ya kawaida inayoweza kumtokea binadamu yeyote, wakati wowote.

Baada ya mazishi hayo jana Alhamisi katika Makaburi ya Kisutu, Dogo Janja alisema;

“Taarifa tulizipata mapema alfajiri mimi na mke wangu, na tangu msiba utokee tumekuwa karibu nafamilia tukifarijiana. Anachokihitaji Johari kwa sasa ni faraja, tutaendelea kumfariji hadi pale atakaporudi kwenye hali yake ya kawaida.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad