Jeshi la Polisi la Tanzania na Msumbiji Wasaini Mkataba wa Mashirikiano ya Ulinzi na Usalama

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jeshi la Polisi la Tanzania na Msumbiji Wasaini Mkataba wa Mashirikiano ya Ulinzi na Usalama
Jeshi la polisi Tanzania wakishirikiana na jeshi la polisi la Msumbiji  wamesaini mkataba wa mashirikiano ya ulinzi na usalama baina ya Nchi hizo mbili ili kudhibiti na kokomesha uhalifu mipakani pamoja uhamiaji haramu.

Makubaliano hayo yamefanyika leo jijini dar es salam katika ofisi za makao makuu ya jeshi la polisi Tanzania

IGP sirro amesema,  mkataba huo wa mashirikiano ya ulinzi utasaidia kutunza na kudumisha aman kutokana na mashirikiano hayo,  na kuongelea mapigano ya majambazi ambao walikuwa wakipambana nao kibiti walikimbilia msumbiji na muungano huo utaleta mafanikio na kuwataka wote ambao wapo nchi msumbiji kuwa popote watakapo kimbilia bado hawatakuwa salama.

Aidha kwa upande wake IGP Bernadino Rafael wa msumbiji amesema makubaliano hayo yatawasaidia kuimarisha ulinzi na  kubadilishana na kujifunza mbinu mbalimbali ambazo jeshi la polisi la Tanzania wamekua wakizitumia ili kudhibiti uhalifu  na pia izi utazidi kuwa imara,  na madhaifu madhaifu ya polisi wa Tanzania
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad