AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Huku akiwa na majonzi, Johari aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa, mama yake huyo alikuwa ni nguzo muhimu katika maisha yake kwani alikuwa ndiye mshauri wake mkubwa.
“Mama yangu alikuwa ni mtu muhimu sana katika maisha yangu na amenipa kidonda kikubwa sana katika maisha yangu ambacho hakiwezi kupona milele, ninaumia mno na sijui nitawezeje bila mama yangu,” alisema Johari.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK