Johari Ana Kidonda Kisichopona

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MWIGIZAJI wa kitambo Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amefunguka kuwa tangu ampoteze mama yake mzazi, Asha Chagula aliyefariki dunia wiki iliyopita, amepata kidonda kikubwa ambacho hakiwezi kupona katika maisha yake yote.


Huku akiwa na majonzi, Johari aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa, mama yake huyo alikuwa ni nguzo muhimu katika maisha yake kwani alikuwa ndiye mshauri wake mkubwa.

 “Mama yangu alikuwa ni mtu muhimu sana katika maisha yangu na amenipa kidonda kikubwa sana katika maisha yangu ambacho hakiwezi kupona milele, ninaumia mno na sijui nitawezeje bila mama yangu,” alisema Johari.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad