Jux sio Zao la Wakacha ni Zao Langu- Mkubwa Fella.

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jux sio Zao la Wakacha ni Zao Langu-  Mkubwa Fella.
Umekuwa ukiwaza kuwa Jux ni zao la kundi la Wakacha? Basi umekosea sana, nikufahamishe kuwa msanii huyo ni zao la Mkubwa Fella.

Hilo amethibitisha Fella mwenyewe wakati akiongea katika sherehe za uzinduzi wa kumtambulisha msanii mpya wa WCB, Malomboso zilizofanyika Hyatt Regency zamani Kilimanjaro Hotel.

“Mimi na kumbukumbu zangu nimewatengeneza wasanii 105, wanaofanya vizuri 32. Na nitakupeni maajabu mtu mwingine anayefanya vizuri ni Jux ni nguvu yangu. Hamjui mmeona, na sitaki mujue,” amesema Fella.

Mkubwa Fella ameongeza kuwa japo Malomboso amesaini lebo ya WCB lakini bado kuna asilimia atakuwa anaipata kutoka na kumlea msanii huy0 mpaka kuanza kufahamika.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad