AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kikao hicho kimeahirishwa ili kutoa fursa ya viongozi na wanachama wa Chadema kushiriki mazishi ya Anna Mayunga ambaye ni mama wa mkurugenzi wa sheria wa chama hicho, , Peter Kibatala.
Akizungumza na Mwananchi leo Jumamisi Januari 13, 2018, Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje, John Mrema amesema “ni kweli Kamati Kuu ilikuwa ikutane leo lakini imeahirishwa hadi kesho(Jumapili).”
“Tumeahirisha ili kutoa nafasi ya viongozi kushiriki mazishi ya mama yake Kibatala yanayofanyika leo(Jumamosi) Morogoro mjini na Kamati Kuu itakutana kesho(Jumapili) jijini Dar es Salaam.”
Mrema amesema marehemu Anna alifariki juzi Alhamisi baada ya kuangukiwa na ukuta wa nyumba aliokuwa amejikinga na mvua zilizokuwa zikinyesha na kudai kwamba si pekee aliyefariki kuna wengine pia.
Amesema mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe tayari yupo mkoani Morogoro kuhudhuria mazishi hayo akiwa pamoja na viongozi wengine na wabunge.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK