Kampuni ya mavazi, H&M Yafunga Maduka Yake Afrika Kusini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kampuni ya mavazi, H&M Yafunga Maduka Yake Afrika Kusini
Kampuni ya mavazi, H&M imelazimika kufunga maduka yake kwa muda nchini Afrika Kusini baada ya kutokea uharibifu.
Hatua ya kufunga maduka hayo imekuja baada ya kundi la Economic Freedom Fighters (EFF) kuyalenga maduka takribani sita na kuyaharibu ikiwemo na bidhaa zake.

H&M wameachia taarifa ya kufunga maduka hayo kupitia ukurasa wao wa mtandao wa Twitter, na kuelezea kuwa hatua hiyo imefanywa ili kulinda usalama wa wafanyakazi na wateja wao.



Wiki moja iliyopita kampuni hiyo ilichapisha T-Shirt iliyovaliwa na kijana mwenye asili ya Afrika na kuandikwa “Coolest monkey in the jungle”, kitendo hicho limetafrisiwa kuwa cha kibaguzi kwa watu weusi na kupelekea watu mbalimbali kulaani kampuni hiyo kwa kufanya kitendo hicho.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad