Kinguke Amkumbuka Tundu Lissu Aulizia Hali Yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kinguke Amkumbuka Tundu Lissu Aulizia Hali Yake
Mwanasiasa mkongwe , Kingunge Ngombale Mwiru ambaye amelazwa katika hospitali ya Muhimbili kufuatia kung'atwa na mbwa amemkumbuka na kumjulia hali Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ambaye amesafirishwa na kwenda Ubelgiji kwa matibabu zaidi.


Kigunge amemjulia hali Tundu Lissu baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa akiwa amefuatana na Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa kamati Kuu Mhe. Edward Lowassa walipomtembelea leo Januari 8, 2018 katika hospitali ya Muhumbili.

"Vipi kuhusu Tundu Lissu? Nimeona mimi jinsi wanavyonifanyia hapa (madaktari) nimewauliza mimi tu niliyeng'atwa na mbwa mnanifanyia hivi Lissu mmemfanyaje maana majeraha yake yalikuwa makubwa" alihoji Kingunge

Baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA kumueleza Mzee Kingunge juu ya hali ya Tundu Lissu kwa sasa ilimpa faraja mzee huyo na kusema kuwa 'Aluta Continua'
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad