Lava Lava Afunguka Kuhusu Kufanya Cover ya Ngoma ya Alikiba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Lava Lava Afunguka Kuhusu Kufanya Cover ya Ngoma ya Alikiba
Msanii wa muziki Bongo, Lava Lava amefunguka iwapo anaweza kufanya cover ya ngoma yoyote ya msanii Alikiba.

Muimbaji huyo kutoka label ya WCB ameiambia The Playlist ya Times Fm kwa sasa bado hajafikiria hilo ila Alikiba ni msanii ambaye anajifunza mengi mazuri kutoka kwake.

“Kwa sasa hivi siwezi kusema, unajua mpaka kufanya cover ya msanii inabidi huo wimbo uwe unaufuatilia, unajua kufanya cover ni ku-present kile ambacho amekifanya lakini kukiboresha zaidi,” amesema.

Utakumbuka Lala Lava alishafanya cover ya ngoma ya Diamond inayokwenda kwa jina la Utanipenda.

Alipoulizwa ni kitu gani anajifunza kutoka kwa Alikiba alijibu; “vitu vingi sana, Alikiba ni msanii mzuri na anafanya vizuri, kwa hiyo wasanii wote wanaofanya vizuri lazima uchungulie kuona wanafanya vitu gani ili ujifunze,”.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad