Makamu wa Rais Mama Samia Akutana na Bosi wa UN Tanzania

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Makamu wa Rais Mama Samia Akutana na Bosi wa UN Tanzania
Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu leo amekutana na Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa UNDP, Alvaro Rodriguez ambaye alimtembelea ofisini kwake.


Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu akizungumza na Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa UNDP, Alvaro Rodriguez

Miongoni mwa mambo waliyojadili ni ushirikiano mzuri unaoendelea kati ya mashirika lake na serikali ya Tanzania.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad