Mama Kanumba Asimulia Siri ya Nabii Tito na Kanumba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mama Kanumba Asimulia Siri ya Nabii Tito na Kanumba
BAADA ya picha kusambaa za aliyekuwa staa wa sinema za Kibongo, Steven Kanumba akiwa na Nabii Tito ambaye kwa sasa yupo mbaroni kutokana na kuonekana akikashifu dini, mama mzazi wa staa huyo, Flora Mtegoa na mdogo wake, Seth Bosco wamemfungukia jamaa huyo jinsi alivyokuwa akiwashawishi kujiunga naye.

Akizungumza na Ijumaa Wikienda, mama Kanumba alisema kuwa, alisikia Nabii Tito alikuwa akimshawishi Kanumba aingie kwenye dini yake, lakini hakukubaliana naye kwa kuwa alikuwa ana imani na msimamo mkali wa kidini hivyo ikawa ni vigumu kumkubalia.

Kwa upande wake, Seth alisema kuwa, Nabii Tito alifika ofisini kwao, Sinza-Mori, Dar, kipindi hicho wakiwa na Kanumba akawahubiria na kuwashawishi wajiunge naye, lakini walikataa na ndiyo siku waliyopiga naye picha.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad