AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Ijumaa Wikienda, mama Kanumba alisema kuwa, alisikia Nabii Tito alikuwa akimshawishi Kanumba aingie kwenye dini yake, lakini hakukubaliana naye kwa kuwa alikuwa ana imani na msimamo mkali wa kidini hivyo ikawa ni vigumu kumkubalia.
Kwa upande wake, Seth alisema kuwa, Nabii Tito alifika ofisini kwao, Sinza-Mori, Dar, kipindi hicho wakiwa na Kanumba akawahubiria na kuwashawishi wajiunge naye, lakini walikataa na ndiyo siku waliyopiga naye picha.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK