Maskini!.... Kichanga cha Miezi Nane Amebakwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Maskini!.... Kichanga cha Miezi Nane Amebakwa
Kijana mmoja mwenye umri wa miaka 28 anashikiliwa na polisi nchini India kwa kumbaka mtoto wa miezi 8 ambaye ni binamu yake, na kumsababishia majeraha makali yanayohatarisha usalama wake huko Shakurbasti kaskazini Magharibi mwa mji wa Delhi.


Taarifa kutoka nchini India zinasema kwamba mama wa mtoto huyo alikuwa ameenda kazini na kumuacha na wifi yake ambaye ndiye alitakiwa kumuangalia, lakini alichukuliwa na binamu yake aliyesema anakwenda naye chumbani kucheza naye, na kisha kumfanyia kitendo hiko cha kikatili.

Baada ya kurudi kazini mama wa mtoto huyo alimkuta mtoto wake ana damu mwilini huku akilia na sehemuzake za siri kuonekana zimevimba, ndipo alipoamua kumkimbiza hospitali, na baada ya vipimo mtoto huyo alionekana amebakwa na kujeruhiwa.

Kijana anayehusika na tukio hilo ambaye ni ndugu yao wanayeishi naye nyumba moja alikimbia, lakini polisi walifanikiwa kumkamata na kukiri kufanya tukio hilo.

Mtoto huyo bado yuko katika hospitali ya Kalawati Saran anakoendelea kupatiwa matibabu, huku madaktari wakisema kwamba hali yake bado ingawa yuko salama
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad