Mrema Atinga Polisi Kuhusu Suala la Kuzushiwa Kifo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mrema Atinga Polisi Kuhusu Suala la Kuzushiwa Kifo
Mwenyekiti wa TLP, Augustine Mrema leo Ijumaa ametoa taarifa za kuzushiwa kifo katika Kituo cha Polisi cha Oysterbay wilayani Kinondoni ili wahusika waweze kuchukuliwa hatua za kisheria.

Juzi katika mitandao ya kijamii zilisambaa taarifa za kufariki kwa mwanasiasa huyo lakini muda mfupi baadaye Mrema alikanusha akisema ni mzima wa afya njema.

Akizungumza na Mwananchi leo Ijumaa, Mrema amesema yupo Oysterbay kutoa taarifa ili suala hilo lichunguzwe na Jeshi la Polisi ili wamnase aliyesambaza taarifa hizo.

“Nipo Oysterbay Polisi namalizia taratibu za kuandikisha kesi hii, nikimaliza nitakujulisha kwa kina kuhusu suala hili,” amesema.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad