Ndoa Yampoteza Irene Poul Kwenye Tasnia ya Filamu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ndoa Yampoteza Irene Poul Kwenye Tasnia ya Filamu
MSANII kiwango kunako soko la Bongo Muvi, Irene Paul anadaiwa kupotezwa na ndoa na kwamba kwa sasa haonekani kwenye tasnia hiyo.

Kwa mujibu wa chanzo, Irene anayesifika kuzitendea haki ‘scene’ zake anazopewa hususan kwenye suala zima la ‘ung’eng’e’, tangu ameolewa amekuwa hasikiki tena kwenye filamu kama ilivyokuwa awali.

“Hii ni ndoa tu itakuwa imempoteza, zamani alikuwa tishio kwenye kila filamu anayotoa iwe ameshirikishwa au amecheza mwenyewe lakini tangu ameolewa amekuwa kimyaa,” kilibonyeza chanzo hicho.

“Ndoa si kwamba inamfanya mtu awe kimya, nipo kimya kwa sababu nina biashara zangu nyingine.”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad