AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Afisa usajili wa Songwe Coletha Peter amesema kwasasa wanaendelea na Usajili katika Wilaya ya Mbozi na wako kwenye awamu ya 5 wanayotegemea kumaliza January 20, 2018.
Amesema baada ya kukamilika kwa awamu ya 5 wataingia katika awamu ya 6 itakayohusisha kata ya Nambizo, Magamba, Nanyala na Ruanda na kuwasititiza Wananchi wa kata zilizo katika awamu ya 6 kujiandaa kwa zoezi hilo ikiwa ni pamoja na kuandaa Viambatanisho vya msingi vinavyohitajika katika zoezi la Usajili na Utambuzi.
Katika mkoa wa Songwe Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imeanza zoezi la mapingamizi ambapo wananchi wanapata fursa ya kuhakiki taarifa zao pamoja na kuweka mapingamizi kwa mtu yoyote wanayehisi si raia au si Mkazi wa eneo husika na amefanya usajili wa maombi ya Kitambulisho cha Taifa, ambapo Coletha amewasihi Wananchi wa kata Ichenjezya, Vwawa na Mlowo ambazo ndo zimeanza zoezi hilo, kuwa wazalendo katika kufanikisha zoezi hilo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK