AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Farhadi Moshri amesema kwamba kilichomuondoa Lukaku kutoka Everton sio masuala ya kipesa kama inavyoonekana kwani walikuwa tayari kumpatia hadi kiasi cha £140,000 kwa wiki ila alikataa.
Lakini Moshri anadai kwamba mchezaji huyo alikuja Africa ambapo alikutana na ujumbe wa mganga ambao ulimshauri kuondoka katika klabu ya Everton na kutimkia Chelsea ambapo hata hivyo baadae alikwenda Manchester United.
Moshri amesema kwamba masuala yao na Lukaku yalikuwa yakikaribia kabisa kumalizika na hadi wakala wa mchezaji huyo alikuwa akikaribia kumaliza jambo hilo lakini ghafla Lukaku alibadilika.
Tajiri huyo wa Everton pia ameeleza masikitiko yake kuhusu Ross Barkley kwani anaamini wao kama Everton mchezaji huyo ndio waliamini anaweza kubaki nao baada ya Stones na Lukaku kuondoka ila hawakuwa na namna zaidi ya kumuuza kwenda Chelsea.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK