Siwezi Kushuka Kimuziki Kisa Ndoa- Belle 9

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Siwezi Kushuka Kimuziki Kisa Ndoa- Belle 9
MWANA-MUZIKI anayetamba na Ngoma ya Mfalme, Abednego Damian ‘Belle 9’ ambaye hivi karibuni aliingia kwenye ndoa ameibuka na kusema hawezi kupotea kimuziki kisa kuoa kama wasanii wengi wanavyokuwa.

Akizungumza na Showbiz-Xtra, Belle 9 alisema, yeye ni msanii anayejiamini kwenye kazi zake hivyo hawezi kutetereka sababu ya ndoa, akashuka kimuziki kama ilivyotokea kwa wasanii wengine.

“Suala la kushuka kimuziki kisa ndoa sikubaliani nalo hata kidogo, hao wanaoshuka wanashuka kwa sababu zao binafsi, sidhani kama sababu ni ndoa, kwanza huyu mwanamke ninaye siku nyingi vipi nifeli baada ya kumuoa,”alisema.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad