AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
huyo ni mtu wake wa karibu tu siyo kimapenzi.
Balaa hilo liliibuka siku chache zilizopita kwenye mitandao ya kijamii baada ya msanii huyo kumtakia heri ya kuzaliwa Minu kwa maneno matamu ambayo watu walianza kujaji kuwa huenda ni wapenzi, ambapo alifunguka kuwa hana uhusiano na mwanaume huyo kwani ukaribu wao ni wa kikazi si zaidi.
“Huyo Minu siyo mpenzi wangu na wala sina muda mrefu tangu nijuane naye, kuna siku alinitafuta baada ya kupewa namba yangu na Nisha, sababu alikuwa ameandika wimbo ambao aliona nafaa kuuimba, sasa kumtakia heri ya kuzaliwa kwa kumwambia nampenda ndiyo kosa?”alihoji msanii huyo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK