AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sumaye ameyasema hayo leo Ijumaa, Januari 5, 2017 wakati akifanyiwa mahojiano na Global TV Online ambapo amesema alikihama chama hicho kwa sababu anataka ifike mahali ambapo Chadema kitakuwa na nguvu kama kilivyo CCM na kuongeza kuwa anawapenda Marais wote wa walioiongoza Tanzania.
“Kwangu mimi suala la kurudi CCM hapana! tunachojenga ni demokrasia, sina chuki na CCM, sina chuki Rais John Magufuli, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete, Rais Mstaafu Benjamin Mkapa wala uongozi.
“Rais Magufuli akifnya vizuri katika kupambana na ufisadi, kusimamia demokrasia na uchumi, mambo yote mhimu atakuwa ameyafanya yote ya msingi, hayo yatanifanya nimpe changamoto zaidi asirudi nyuma. Kwa sasa CCM wanajitahidi kufanya vizuri kwa sababu sisi wapinzani tunawakumbusha,” alisema Sumaye.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK