AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Star Mix,Tunda alisema kuwa anapendezwa na muonekano ambao anaonekana hivi sasa kwa sababu angalau anaonekana mtu mzima hata mtu akimuoa anajua ana mke mkweli ndani.
“Nafurahia sana muonekano wangu wa sasa hivi nilivyo na kwa sasa nipo tayari kuitwa mke wa mtu maana hata nikiwekwa ndani kama mke nafaa kabisa, nilikuwa nakereka watu kunifananisha na katoto,” alisema Tunda.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK