Vituo vya Habari Vyafungiwa Matangazo Nchini Kenya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kituo cha Citizen TV,  Citizen Radio Vimezimwa na Serikali Nchini Kenya
Vituo vya Citizen TV na Citizen Radio vimezimwa na serikali nchini humo tukio ambalo limehusishwa moja kwa moja na kurushwa kwa matangazo ya kuapishwa kwa kiongozi wa upinzani nchini humo Raila Odinga.

Citizen TV na Radio walikuwa wakirusha Live tukio la kuapishwa kwa Raila Odinga katika viwanja vya Uhuru jijini Dar es salaam.

Kupitia tovuti ya Citizen TV imeeleza kuwa tukio hilo limekuja siku moja baada ya Serikali kupitia Mamalaka ya Mawasiliano nchini humo (The Communications Authority of Kenya) kutoa onyo kwa vyombo vya habari vitakavyorusha matangazo ya kuapishwa kwa Odinga.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad