AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamanda waPolisi Mkoa wa Kagera, Augustine Ollomi amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo ambap ameeleza kuwa gari hilo dogo la abiria lilikuwa linatokea Kakonko mkoani Kigoma kuelekea Kahama huku akisema chanzo cha ajali hiyo ni mwendokasi wa dereva ambaye aligonga magari mawili ya mizigo yenye namba za usajili T694 COX lililokuwa likivuta tela namba T 103 DKJ mali ya kampuni ya Mruruma Enterprises ya Dar es Salaam.
Ollomi amesema kuwa watu 9 wamefariki papo hapo eneo la ajali, mmoja alifariki njiani akiwahishwa hospitali na mwingine amepoteza maisha leo asubuhi. Majeruhi watano wanaendelea kupata matibabu katika hospitali teule ya Wilaya ya Biharamulo.
Gari hilo dogo lilikuwa na abiria wapatao 17 ambapo 11 wamefariki akiwemo dereva wake na watano wamejeruhiwa huku mmpoja akitoka salama.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK