Amdanganya Mumewe Mkewe Aiba Mtoto Mchanga Hospitali

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Amdanganya Mumewe Mkewe Aiba Mtoto Mchanga Hospitali
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa kushirikiana na Viongozi wa Hospitali ya Mkoa wa Mbeya wamefanikiwa kumkamata Happy Charles (24) akiwa na mtoto mchanga jinsia ya kike aliyemuiba Hospitali ya Mkoa wa Mbeya hivi karibuni.


Akizungumza na waandishi wa Habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Mohamed Mpinga, amesema mnamo tarehe 03 Februari mwaka huu, Jeshi la Polisi lilifanikiwa kumkamata mtuhumiwa huyo ambaye ni mama lishe aishiye mtaa wa Airport ya zamani jijini Mbeya.

Kamanda Mpinga amesema kuwa uchunguzi wa awali umebaini kuwa Mtuhumiwa Happy Charles hapo awali alikuwa akimdanganya mume wake aitwaye Chiluba Peter, ambaye ni Dereva Taxi kuwa ni mjamzito na kwamba amejifungua mtoto wa kike tarehe 31 Februari, 2018.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Majangaa. 31 februari 2018! Global kweli mko gado lol

    ReplyDelete

Top Post Ad