AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Zuma yupo katika shinikizo kubwa ambalo linatoka ndani ya chama chake ambalo linamtaka ajiuzulu kufuatai kashfa ya ufisadi.
Mkutano wa kamati kuu ya chama hicho NEC unatarajiwa kufanyika siku ya februari 17 na 18 kwa mjibu wa taarifa iliyotolewa na kiongozi wa chama hicho cha ANC, Cyril Ramaphosa.
Hata hivyo badala yake taarifa iliyotolewa na chama hicho imeeleza kuwa wamekuwa na mazungumzo yenye ufanisi mkubwa na rais Zuma.
Baadhi ya mitandao nchini humo imekuwa ikieleza Rais Zuma anajiandaa kuachia madaraka iwapo makubaliano yatafikiwa na pande zote mbili.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK