ANC Yaahirisha Mkutano wa Kujadiri Hatima ya Zuma

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

ANC Yaahirisha Mkutano wa Kujadiri Hatima ya Zuma
Chama tawala nchini Afrika Kusini, ANC kimeahirisha mkutano wa viongozi wa juu wa chama hicho uliotarajiwa kujadili hatima ya Rais Jacob Zuma.

Rais Zuma yupo katika shinikizo kubwa ambalo linatoka ndani ya chama chake ambalo linamtaka ajiuzulu kufuatai kashfa ya ufisadi.

Mkutano wa kamati kuu ya chama hicho NEC unatarajiwa kufanyika siku ya februari 17 na 18 kwa mjibu wa taarifa iliyotolewa na kiongozi wa chama hicho cha ANC, Cyril Ramaphosa.

Hata hivyo badala yake taarifa iliyotolewa na chama hicho imeeleza kuwa wamekuwa na mazungumzo yenye ufanisi mkubwa na rais Zuma.

Baadhi ya mitandao nchini humo imekuwa ikieleza Rais Zuma anajiandaa kuachia madaraka iwapo makubaliano yatafikiwa na pande zote mbili.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad