Chabo Zamkimbiza Davina

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Chabo Zamkimbiza Davina
MUIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Halima Yahaya ‘Davina’ amejikuta akitoka nduki baada ya kushtukia anapigwa chabo na makonda wa daladala.

Tukio hilo la aina yake lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita maeneo ya Ubungo- Mawasiliano wakati Davina na wenzake wakiwa wanarekodi sinema inayokwenda kwa jina la Kashinde ya inayoandaliwa na Kampuni ya Lugwa.

Wakati akibadilisha nguo kuuvaa uhusika wa ‘ukonda’ nyuma ya gari, ghafla walitokea makonda halisi ambao walimfanya atimke haraka akihofia kuchunguliwa.

“Daah! Kazi yetu hii ina changamoto wakati mwingine inabidi ujitoe kidogo ufahamu lakini pale niliamini hakuna mtu angeweza kufika sijui wale makonda walitokea wapi,” alisema Davina.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad