AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Mafunzo na Operesheni wa Chadema, Benson Kigaila, amesema baadhi ya njama hizo ni kuwepo taarifa kwamba kuna watu walioletwa kutoka Zanzibar kuja kushiriki uchaguzi huo wa Kinondoni ambapo amesema wapo kwenye hoteli na nyumba za kulala wageni eneo la Kijitonyama, Kinondoni, jijini Dar es Salaam.
Kigaila aliongeza kusemakwamba chama chake kimeona dalili za hujuma ambazo hupangwa kila unapofika wakati wa uchaguzi ambapo watu hushambuliwa, kutekwa na kufanyiwa vitendo vibaya.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK