Chadema Yadai Hawana Imani na Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kinondoni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Chadema Yadai Hawana Imani na Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kinondoni
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo wamesema hawana imani na msimamizi wa uchaguzi jimbola Kinondoni wakidai kuna njama zilizopangwa dhidi ya chama hicho katika uchaguzi utakaofanyika wiki ijayo.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Mafunzo na Operesheni wa Chadema, Benson Kigaila,  amesema baadhi ya njama hizo ni kuwepo taarifa kwamba kuna watu walioletwa kutoka Zanzibar kuja kushiriki uchaguzi huo wa Kinondoni ambapo amesema wapo kwenye hoteli na nyumba za kulala wageni eneo la Kijitonyama, Kinondoni,  jijini Dar es Salaam.

Kigaila aliongeza kusemakwamba chama chake kimeona dalili za hujuma ambazo hupangwa kila unapofika wakati wa uchaguzi  ambapo watu hushambuliwa, kutekwa na kufanyiwa vitendo vibaya.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad