AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika taarifa iliyotolewa leo na Chama hicho imeeleza kuwa Mzee Kingunge atakumbukwa kwa mchango wake kwenye mapambano ya kupigania uhuru wa Tanganyika.
Aidha Chama cha ACT Wazalendo wanatoa pole kwa familia ya Mzee Kingunge kwa kupata misiba miwili ndani ya kipindi kifupi Mzee Kingunge aliyefariki usiku wa kuamkia Februari 2, 2018 na Mkewe Mama Peras Kingunge aliyefariki Januari 4, 2018
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK