DC Aagiza Polisi Wavaa Nusu Utupu na Milegezo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

DC Aagiza Polisi Wavaa Nusu Utupu na Milegezo
Mkuu wa wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya Rehema Madusa ameliagiaza Jeshi la Polisi kuwakamata Wadada wote wanaovaa nguo nusu utupu  na wanaofanya biashara ya kuuza miili yao ili wakasaidie ujenzi wa nyumba za jeshi la Polisi.

DC Madusa amesema wale wote watakaomatwa adhabu yao itakuwa kufyatua tofali zitakazosaidia katika ujenzi wa nyumba za Askari polisi kwa kuwa kuna changamoto kubwa ya makazi ya Askari
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad