Dogo Janja Amwagia Sifa Irene Uwoya "Mke Wangu ni Mganga wa Jiko Vyakula Anavyopika Hatari Sana"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Dogo Janja Amwagia Sifa Irene Uwoya "Mke Wangu ni Mganga wa Jiko Vyakula Anavyopika Hatari Sana"
Msanii wa muziki Bongo, Dogo Janja amefunguka kinachomvutia kutoka kwa mke wake Irene Uwoya msimu huu wa wapendanao (valentine).

Hitmaker huyo wa ngoma ‘Ngarenaro’ ameiambia ITV kwa sasa anavutika zaidi na mapishi ya mkewe.

“Vyakula anavyonikipia mke wangu hatari sana, fundi jikoni, mganga wa jiko. Ni wanamke mwenye vision, ni mtu ambaye tunaelewana, tunasikilizana, ni marafiki,” amesema Dogo Janja.

Dogo Janja na Irene Uwoya walifunga ndoa November mwaka jana, 2017 hata hivyo ni vigumu kutaja tarehe kamili ya ndoa hiyo kutokana na namna walivyoliweka suala hilo
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad