AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hitmaker huyo wa ngoma ‘Ngarenaro’ ameiambia ITV kwa sasa anavutika zaidi na mapishi ya mkewe.
“Vyakula anavyonikipia mke wangu hatari sana, fundi jikoni, mganga wa jiko. Ni wanamke mwenye vision, ni mtu ambaye tunaelewana, tunasikilizana, ni marafiki,” amesema Dogo Janja.
Dogo Janja na Irene Uwoya walifunga ndoa November mwaka jana, 2017 hata hivyo ni vigumu kutaja tarehe kamili ya ndoa hiyo kutokana na namna walivyoliweka suala hilo
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK