Ibada ya Kumuombea Kingunge Yafanyika Nyumbani Kwake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ibada ya Kumuombea Kingunge Yafanyika Nyumbani Kwake
Ibada ya kumuombea  mwanasiasa mkongwe marehemu Kingunge Ngombale Mwiru imefanyika nyumbani kwake Victoria, Kijitonyama wilayani Kinondoni.

Ibada imefanyika leo Jumatatu Februari 5,2018 ikiongozwa na katekista George Wilbard wa Kanisa Katoliki.

Baada ya ibada, mwili wa Kingunge utapelekwa katika viwanja vya Karimjee  kwa ajili ya utoaji wa heshima za mwisho.

Kingunge aliyefariki dunia Februari 2,2018 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) alikokuwa akipatiwa matibabu baada ya kung’atwa na mbwa nyumbani kwake atazikwa katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad