AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ibada imefanyika leo Jumatatu Februari 5,2018 ikiongozwa na katekista George Wilbard wa Kanisa Katoliki.
Baada ya ibada, mwili wa Kingunge utapelekwa katika viwanja vya Karimjee kwa ajili ya utoaji wa heshima za mwisho.
Kingunge aliyefariki dunia Februari 2,2018 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) alikokuwa akipatiwa matibabu baada ya kung’atwa na mbwa nyumbani kwake atazikwa katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK