AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Idris Sultan amesema hayo kwenye kipindi cha KIKAANGONI kinachorushwa kwenye ukurasa wa facebook wa EATV kila siku ya Jumatano kuanzia saa nane mchana mpaka saa kumi jioni. Moja ya shabiki alitaka kufahamu kama kweli alimpa ujauzito Wema Sepetu ndipo hapo aliposema ni kweli.
"Wema Sepetu kweli nilimpa mimba na ni kweli kwamba ilikuwa ni mimba ya watoto mapacha, hivyo haikuwa kiki na kweli nilikuwa kwenye mahusiano naye kwa takribani miaka miwili hivyo haikuwa kiki ile bali uhalisia" alisema Idris Sultan
Mbali na hilo Idris Sultan amedai baadaye aliamua kumuacha mwanadada huyo kutokana na mambo mbalimbali ambayo alimtendea na kuamua kusonga mbele na maisha yake binafsi
"Tangu nimekuwa maarufu sijawahi kuachwa, kabla ya umaarufu nimeachwa mara tatu, kwenye mahusiano huwaga sisemi 'its over', hivyo nilimuacha Wema Sepetu ila kwanini niliachana naye siwezi kuweka wazi, kufanya hivyo nitakuwa namkosea maana naweza kuweka mambo hadharani kumbe kuna mwanaume mwingine anamtaka saizi nitakuwa simtendei haki ila nachoweza kusema nilimuacha kwa sababu ya vitu alivyofanya kwangu" alisisitiza Idris Sultan
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK