Kumbe Wema ndo Chanzocha Kuvunja Penzi la Diamond na Zari.... Zari Athibitisha Afunguka A-Z

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kumbe Wema cha Kuvunja Penzi la Diamond na Zari.... Zari Athibitisha Afunguka A-Z
Unazikumbuka picha za Wema Sepetu na Diamond Platnumz zilizosambaa wakiwa wamekumbatiana kwa mahaba wakati wa sherehe ya kumkaribisha Maromboso au ‘Mbosso’ iliyofanyika mwezi uliopita katika hoteli ya Hyatt Regency Dar es Salaam?

Basi tukio lile ndio limesababisha Diamond kuweza kupigwa chini na mama watoto wake, Zari The Bosslady.

Akiongea katika kipindi cha runinga cha Dira ya Dunia ya BBC Swahili, Zari amesema, “Tulikuwa tunajaribu kuona we can move from hiyo sikendo ya kupata mtoto. So we can move forward lakini vitu kama hivyo leo unasikia hivi unaona vile sijui kukumbatiana huko na maex kwenye public vitu vya kunidhalilisha, kunifanya niwe very disrespect na watoto wangu unaona tu like it’s just not right.”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. kwani wewe ulipomchukuwa ulifikiria nini alikuwa na wema bitukinao ukaona ninyakue kwa vishindo na mbwembwe kunfanyia mwenzeko na kejeli sasa yamekufika kaa ulee watt wako unahangaika nini kupost kwenye mitandao humtaki tulia why unajianika kila siku means unamtaka unamvuta wewe ni mjanja lakini ulishaambiwa kigoma hatoki boi anza maisha yako na watt wako tafuta mwanaume size yako

    ReplyDelete

Top Post Ad