AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mama mzazi wa Sugu alisema hayo Februari 4, 2018 alipotembelewa nyumbani kwake na Mbunge wa Arusha Mjini (CHADEMA) Godbless Lema na Mbunge wa Tandahimba (CUF), Katani Katani ambapo kwa pamoja walikwenda kumtembelea Mbunge Sugu gerezani.
"Miaka mingi sana toka yupo hapa anaimba miziki yake na kusemea matatizo ya nchi hii kwa hiyo hatushangai sana, mimi sioni kama amefanya kitu cha ajabu kwani hivyo ndivyo alivyo toka utoto wake ndiyo maana tulimwita Joseph mfanyakazi maanake ni mfanyakazi bora. Lakini anatetea haki kwa binadamu wenzie kuanzia yeye mwenyewe, watoto zake hata wajukuu zake watapata haki, anachotenda ni halali sana na hakuna tofauti" alisisitiza Mama yake na Sugu
Mbunge wa Mbeya Mjini Mhe. Joseph Mbilinyi na Katibu wa CHADEMA Kanda ya Nyasa Emmanuel Masonga Januari 25, 2018 walirudishwa rumande tena na kesi yao itaendelea Februari 8, 2018. Viongozi hao wanashtakiwa kwa kesi ya uchochezi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo..........
ReplyDelete