AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amesema kuwa baada ya Mbunge wa
Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (Sugu) kufungwa mke wake amemuambia kuwa
maisha ya siasa yanaendelea kuwa magumu sana.Lema amesema kuwa Mke wake amemueleza kuwa kazi yao kwasasa imekuwa ni kuzika, mahakamani, polisi, hospitali na magereza.
“Baada ya Sugu kufungwa,Mke wangu aliniambia”Godbless maisha
ya Siasa yanaendelea kuwa magumu sana,kazi yenu sasa imekuwa ni kuzika,
mahakamani,Polisi,Hospital na magereza” Mkti anasemaje?Mpeni moyo
sana,mnapaswa kuilazimisha furaha ili msipoteze Imani na
matumaini.unarudi lini,” ameandika Lema kwenye ukurasa wake wa Twitter.
----
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
Kwa hiyo....?? anatutangazia 'wananzengo' ili iweje...?? Nyinyi pambaneni na hali zenu, si mnajifanya MUCH-KNOW, mnapelekwa pelekwa na shost'enu mange kimavi.....mtajutraaaaaaaaa
ReplyDeleteSo what
ReplyDeleteSo what
ReplyDelete