AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Marehemu Bryanna Jackson amefariki siku ya Jumanne jioni kwa ugonjwa ambao alikuwa akipambana na nayo maisha yake yote uitwayo Sickle cell anemia.
Sickle cell Anemia ni ugonjwa wa kurithi wa kupungukiwa damu, ambapo mgonjwa hua hana damu ya kutosha kwa sababu ya seli zake za mwili sio imara kubeba hewa ya oksijeni kupeleka sehemu mbalimbali za mwili. ukosefu wa oksijeni unaweza kuharibu viungo na kusababisha maumivu makubwa sana ambayo husabibisha binadamu kulazwa hospitali.
Mama wa Jordin Sparks, Jodi Jackson alitumia akaunti yake ya Facebook kutoa ujumbe huo siku ya Jumatano ambapo alituma picha ya binti yake.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK