Nisha Anyooshwa na Wanaume "Nimekoma Kutoa Mapenzi kwa Wanaume wa Tanzania"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nisha Anyooshwa na Wanaume "Nimekoma Kutoa Mapenzi kwa Wanaume wa Tanzania"
MSANII wa maigizo na vichekesho Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amesema kuwa, amekoma kutoa mapenzi yake kwa wanaume wa Kitanzania kwa kuwa wote wana mapenzi ya kuigiza ambayo yamempotezea muda mno.



Akizungumza na Ubuyu, Nisha alisema ameumizwa sana na mapenzi ya Kibongo, hivyo bora kama anataka kuwa na mpenzi ni afadhali atafute mwanaume wa nje na si Mbongo tena.



“Hivi sasa hivi naanzaje kutoka kimapenzi na mwanaume wa Bongo walivyo waongo na walaghai maana nimepoteza muda mwingi kwao lakini hakuna chochote nilichopata zaidi ya fedhea tu,” alisema Nisha ambaye amewahi kutoka na staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad