Simba Wawasili Dar kwa Makundi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Simba Wawasili Dar  kwa Makundi
Huwezi kuamini! Kikosi cha Simba kimefanywa kama wafalme ndani ya ndege ya Kenya (KQ) kwa kipindi chote cha safari yao.

Iko hivi, baada ya wafanyakazi kujua msafara ule ni wa Simba, kila waipokuwa wakitoa matangazo yao ndani ya ndege walikuwa wakiwatangaza na Simba wakiwapongeza kwa ushindi na kuwatakia mafanikio mema katika mechi zijazo.

"Bila kusahau  ndani ya ndege hii tupo na Wachezaji wa Simba wanaotoka Djibouti na wamefanya vizuri katika mechi yao huko, hivyo sisi wafanyakazi wa ndege hii tunawapongeza sana, tunataka waendelee kufanya vizuri zaidi na zaidi na kuwa wawakilishi wazuri Afrika," alitangaza mfanyakazi huyo akitumia Lugha ya Kiingereza na Kiswahili.

Simba imewasili usiku wa kuamkia leo Alhamisi kwa makundi wakitumia ndege ya KQ na. wataingia kambini kesho hii Ijumaa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hapo tu mmemfunga jibut je mngeifunda esperance ya tunisia

    ReplyDelete

Top Post Ad