AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Iko hivi, baada ya wafanyakazi kujua msafara ule ni wa Simba, kila waipokuwa wakitoa matangazo yao ndani ya ndege walikuwa wakiwatangaza na Simba wakiwapongeza kwa ushindi na kuwatakia mafanikio mema katika mechi zijazo.
"Bila kusahau ndani ya ndege hii tupo na Wachezaji wa Simba wanaotoka Djibouti na wamefanya vizuri katika mechi yao huko, hivyo sisi wafanyakazi wa ndege hii tunawapongeza sana, tunataka waendelee kufanya vizuri zaidi na zaidi na kuwa wawakilishi wazuri Afrika," alitangaza mfanyakazi huyo akitumia Lugha ya Kiingereza na Kiswahili.
Simba imewasili usiku wa kuamkia leo Alhamisi kwa makundi wakitumia ndege ya KQ na. wataingia kambini kesho hii Ijumaa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hapo tu mmemfunga jibut je mngeifunda esperance ya tunisia
ReplyDelete