AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu wa Siasa na Uenezi wa chama hicho, Simon Mwakifwamba imeeleza kuwa wanachama, makada na viongozi watashiriki kikamilifu katika msiba huo, hivyo hakutakuwa na kampeni za nje.
Alisema watazingatia ratiba iliyotolewa na msimamizi wa msiba huo Omary Kimbau, hivyo wanaCCM wafike mapema kwa ajili ya kumpumzisha kwenye makazi ya milele komredi Kingunge
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK