AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Vanessa amebainisha hayo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha 'FRIDAY NIGHT LIVE' (FNL) kutoka EATV baada ya kuulizwa swali na Bill Sepenga kuhusiana na mauzo ya albamu kama yanaenda vizuri au laa.
"Mauzo yanaenda sana kusema ukweli yani nimestaajabishwa sana na mauzo ya albamu, nimefurahi kuona watu wapo teyari kupokea albamu. 'Is fun' kuona watu wengine wanataka kunivunja moyo. Mimi naenda baa nauza 'CD' mwenyewe wengine wananifukuza wananiambia albamu zimepitwa na wakati", amesema Vannessa.
Kwa upande mwingine, Vmoney amesema anawashukuru watu wote wanaondelea kumpa ushirikiano kwa namna moja ama nyingine katika kununua albamu yake ya kwanza kwa mwaka 2018.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK