VIDEO: Aliyekua Mgombea Chadema Kupinga Matokeo Uchaguzi Siha Mahakamani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Na Ferdinand Shayo
Aliyekuwa Mgombea Ubunge kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CDM) jimbo la Siha Mkoani Kilimanjaro Bw elvis Mosi amesema kuwa ana mpango wa kufungua kesi mahakamani kupinga matokeo  ya uchaguzi yaliyompa ushindi Dr Godwin Mollel wa CCM kwa madai kuwa taratibu na kanuni za uchaguzi zilikiukwa hivyo  anatarajia kulifikisha suala hilo mahakamani.

Bw Mosi ambaye alipata kura 5905 dhidi ya kura 25611 za Dr Mollel amesema, wanakusanya ushahidi wa kutosha ambao utaiwezesha mahakama kutengua matokeo hayo na uchaguzi kurudiwa.

Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake sanya juu bw mosi amezitaja baadhi ya taratibu hizo kuwa ni pamoja na kubadilisha matokeo ya kura zake katika vituo na kupewa dr mollel jambo ambalo lilimfanya asisaini fomu za matokeo..insert ya bw elvis mosi mgombea ubunge wa ccm jimbo la siha.

Afisa 0ganizesheni wa Halmashauri na serikali za mitaa wa cdm kanda ya kaskazini Bw Ndonde Totinan amesema, matokeo ya kata 11 kati ya 17 ya jimbo hilo yana utata mkubwa ambao hawaridhiki nao na idadi ya kura zilizopigwa ziliongezwa katika baadhi ya vituo....insert ya bw ndonde totinan afisa ognizesheni wa CMD kanda ya Kaskazini.

Naye Mgombea wa Ubunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya CUF Bw .Tumsifuel Mwanri ambaye hakusaini fomu za matokeo amesema, uchaguzi huo haukuwa huru na ulijaa ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadam.

VIDEO:

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad