Viongozi wa Dini Wapewa Onyo Kali na Jeshi la Polisi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Viongozi wa Dini Wapewa Onyo Kali na Jeshi la Polisi
Jeshi la polisi mkoani Dodoma limewaonya viongozi wa dini mkoani humo ambao wanatabia ya kufanya vitendo vilivyo kinyume na mafundisho ya dini huku likiwaomba wananchi wawafichue viongozi hao ambao wenye tabia hizo.

Hayo yamesemwa leo Februari 14, 2018 na kamanda wa polisi mkoani humo, Kamishna msaidizi Mwandamizi wa polisi, Gilles Muroto.

Kamanda Muroto amesema kuwa kutokana na kukua kwa utandawazi kumekuwa rahisi kwa sasa watu kutumia nafasi hiyo kupotosha umma huku wakijinadi kuwa ni viongozi wa dini.

Muroto amesema viongozi wa dini watakaobainika kufanya vitendo hivyo au vya aina yoyote ile ya udhalilishaji jeshi la polisi halitawavumilia.

Kwa upande mwingine Kamanda Muroto amewaagiza viongozi wa dini kuhakikisha maeneo yao wanayofanyia ibada kunakuwa na ulinzi wakutosha ili kuzuia matukio ya kiuhalifu kutokea.

Soma na hii – Nabii Titto mbaroni baada ya kufanya mahubiri ya uongo kwa miaka 10

Onyo hilo linakuja baada ya mwanzoni mwa mwezi Januari Kiongozi mmoja wa dini aliyejitambulisha kwa jina la Nabii Tito kuhubiri kinyume na maadili ya umambo yaliyo nje na dini.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad