Viongozi wa Juu wa TFF Kuhudhuria Mkutano Mkuu wa CAF

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Viongozi wa TFF kwenda CAF
Shirikisho la soka nchini Tanzania TFF limetoa taarifa leo kuwa viongozi wake watatu wa juu watakuwa ni miongoni mwa wajumbe watakaohudhuria mkutano mkuu wa CAF.


Viongozi hao ni Rais wa TFF Wallace Karia, Makamu wa Rais wa TFF Michael Wambura na Kaimu Katibu Mkuu wa TFF Kidao Wilfred.

Mkutano huo mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Africa CAF utafanyika Februari 2, 2018 nchini Morocco.

Morocco ni mwenyeji wa michuano ya kuwania ubingwa wa Afrika kwa wachezaji wa ndani CHAN zilizoanza Januari 13 na leo ni hatua ya nusu fainali ambapo wenyeji Morocoo wanacheza na Libya huku Sudan wakikipiga na Nigeria.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad