AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya Mohammed Mpinga amewataja watuhumiwa waliokamatwa kuwa ni Kenedy Lupembe Simsokwe ambaye Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha SAUT – Tawi la Mbeya, Mathew Elikana Mwanjala ambaye ni Mpiga picha na Shaban Mkwiche.
Mpinga amesema baada ya kukamatwa na kupekuliwa, watuhumiwa walikutwa na nyara hizo ambazo ni Vipande vinne vya Meno ya Tembo ambavyo vina uzito wa Kilogram 5 na thamani yake ni Tshs 33,000,000/=.
Kamanda Mpinga amesema taratibu za kisheria zinafanyika ili watuhumiwa wafikishwe mahakamani na imeitaka jamii kuacha tabia ya kuwa na tamaa ya kujipatia utajiri wa haraka kwa kutumia njia za mkato zisizo halali, badala yake wafanye kazi halali ili kupata kipato halali.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK