Wizkid Aguswa na Kifo cha Radio Aandika Ujumbe Huu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wizkid Aguswa na Kifo cha Radio Aandika Ujumbe Huu
Wizkid ameonyesha kugusa sana na kifo cha msanii wa Uganda ambaye amedumu kwenye tasnia ya muziki kwa zaidi ya miaka 10, Moses Ssekibogo maarufu kama Mowzey Radio ambaye amefariki jana (Alhamisi).

Wizkid ameonyesha hisia zake za kuumizwa na msiba huo, kutokana na ujumbe ambao ameuandika kupitia mtandao wake wa Instagram ukiwa unaosomeka, “Rest in paradise my brother Radio! 💔…Speechless… Love u forever star! ❤️ !! Nothing can ever be the same! 💔! Superstar lives forever…🖤🖤🖤.”

Radio alilazwa katika Hospital Kuu ya Uganda akipatiwa matibabu tangu January 23 mwaka huu ambapo hali yake ilidaiwa kuwa mbaya kufuatia majereha aliyoyapata kutokana na ugomvi uliotokea klabu huko mjini Entebbe.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad